CHAKWERA USO KWA USO NA BALOZI KOMBO DAR ES SALAAM

 

Mhe. Lazarus Chakwera, Rais wa Zamani wa Malawi na Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola, Mhe. Shirley Ayorkor Botchwey wamekutana na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo jijini Dar Es Salaam Aprili 09, 2026.

Mkutano huo ulilenga kumkaribisha nchini na pia ni ishara ya  kuanza ratiba yake ya kukutana na wadau mbalimbali ikiwamo kukutana na ujumbe wa Serikali Aprili 09, 2026 katika Kituo cha  Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere.

Post a Comment

0 Comments