Na Gordon Kalulunga, Mbeya
MJASIRIAMALI Hobokela Swilla Kandonga amesema Amani na Utulivu huleta Tabasamu na kuhimiza wamamchi kulinda na kustawisha Amani nchini.
Ameyasema hayo jana akitoa maoni yake juu ya umuhimu wa Amani Nchini.
Amesema yaliyotokea Octoba 2025 liwe somo lisilotakiwa kurejelewa kwasababu watu wengi walipata shida kuu.
Aidha ameisihi pia Serikali kuwa na masikio marefu pindi Wananchi watoapo maoni yao badala ya kupuuza jambo ambalo baadhi ya Wananchi wanaamua kuijiingiza kwenye vurugu na kusababisha upotevu wa Amani.

0 Comments