Naibu Waziri wa Habari, Mawasilaino na Teknolojia ya Habari, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi ameshuhudia hafla ya utiaji saini wa mashirikiano kati ya Shirika la Posta Tanzania (TPC) na Kampuni ya Azam Pesa tukio ambalo limefanyika katika hoteli ya Johari Rotana jijini Dar es salaam leo Julai, 17, 2024.